Mashabiki wa timu ya Yanga walikuwa na hamu ya angalau kurudisha magoli 5 waliyofuwngwa na watani wao Simba hata hivyo wamefanikiwa kutoka sare na kutoshana nguvu katika mchezo huo
Wednesday, 3 October 2012
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA KATI YA YANGA NA SIMBA. MCHEZO ULIISHA KWA KUTOSHANA NGUVU SIMBA 1 YANGA 1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment