Subscribe:

search

.

Saturday 13 October 2012

MKUTANO WA “CAUCUS” WAKAMILIKA.


Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa akiwa pamoja na Gavana wa Benki kuu Bw. Benno Ndulu kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afrika wakifuatilia mkutano wa Mawaziri wa Afrika ( Caucus meeting) ambapo majadiliano hayohuafikiwa kwa pamoja na kupelekwa ngazi za juu za uongozi wa IMF.Mkutano huo ulifanyika leo jijini Tokyo-Japan.
Mawaziri wa Fedha wa Afrika katika mkutano wa pamoja wa Mawaziri Jijini Tokyo- Japan,mkutano huo unajulikana kama (Caucus meeting).
 Waziri wa Fedha Dkt. William Mgimwa na Profesa Benno ndulu katika mkutano wa pamoja wa mawaziri wa Afrika, Jijini Tokyo- Japan.
Viongozi wa Afrika wanaoongoza mkutano wa Mawaziri wa Afrika, Jijini Tokyo- Japan

0 comments: