Subscribe:

search

.

Monday 6 August 2012

MAKAMU WA RAIS AANDAA FUTARI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiswali na wageni wake na waumini wa dini ya Kiislamu wakati wa hafla ya futari, iliyoandaliwa na Makamu Ikulu Ndogo mjini Dodoma jana, Agosti 5, 2012. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

0 comments: