Subscribe:

search

.

Saturday 18 August 2012

MASHINDANO YA QURANI YAMALIZIKA USIKU IRINGA

 Waumini
 Majaji
Zawadi
Changamoto imetolewa kwa waumini wa dini ya Kiislam mkoani Iringa pindi wanapoanzisha mashindano mbali mbali kwa ajili ya watoto pia kukumbuka kuwatazama walimu ambao wamewawezesha watoto hao kufanya vema.


Changamoto hiyo imetolewa mapema leo wakati wa mashindano ya kiongozi wa majaji Masoud Salim kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi mstahiki meya wa Iringa Aman Mwamwindi kukabidhi zawadi kwa washindi wa shindano hilo
Na Francis Godwin

0 comments: