Subscribe:

search

.

Saturday 4 August 2012

MKUTANO WA CHADEMA MOROGORO WAZUIWA NA POLISI

Taarifa za uhakika ambazo  Habari Tanzania imezipata kutoka Morogoro ni kuwa polisi wamezuia kabisa mkutano wa chadema,wamemwaga maaskari mamia na sasa kikao cha viongozi wa chadema kinaendelea kuona nini kifanyike. tuone kitakachofuata.

0 comments: