Subscribe:

search

.

Thursday 18 October 2012

CHAMI AIBUKA KIDEDEA CCM-NEC MOSHI VIJIJINI


Mbunge wa Moshi vijijini Dr. Cyril August Chami ameibuka kidedea katika uchaguzu wa mjumbe wa nec kupitia wilaya ya moshi vijijini. Dr. Chami alipata kura 967 (96%) kati ya kura 1008 zilizopigwa. katika uchaguzi huo ndugu Gabriel masenga alitetea nafasi yake ya mwenyekiti wa ccm
wa wilaya ya moshi vijijini.

0 comments: