Subscribe:

search

.

Thursday 18 October 2012

PICHA MBALI MBALI ZA MAZISHI YA MAREHEMU KAMANDA LIBERATUS BARLOW




 Mafundi wakiwa katika harakati ujenzi wa nyumba ya milele (Kaburi) ya Aliekuwa Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza,Marehemu Liberatus Barlow (RPC) huko kijijini kwao Kilema Kioo,Mkoani Kilimanjaro mapema leo asubuhi.Marehemu Liberatus Barlow (RPC) aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi huko Kitangiri,jijini Mwanza hivi karibuni.
Hii ni sehemu iliyotengwa maalum kwa viongozi.
 Viongozi mbali mbali wakiwa kwenye Misa ya Kuuaga Mwili wa Marehemu.
 Mwili wa Marehemu ukiwasili Nyumbani.
 Brass Band ya Polisi ikiongoza 

 Misa ikiendelea

0 comments: