Subscribe:

search

.

Wednesday 17 October 2012

DKT. BILAL AKUTANA NA UJUMBE WA UMOJA WA MATAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ujumbe kutoka Umoja wa Mataifa unaoshughulikia Matumzi endelevu ya Nishati kwa wote, wakati ujumbe huo ulipofika Ofisini kwa Makamu wa rais, Ikulu jijini Dar es   Salaam, leo kwa mazungumzo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na (Mshauri wa Nishati Umoja wa Ulaya), Bw. Luis Gomez Echeverri, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 17, 2012. Kushoto ni Faouzi Bensarsa (Mshauri wa Nishati Umoja wa Ulaya).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa kutoka Umoja wa Mataifa unaoshughulikia Matumzi endelevu ya Nishati kwa wote, wakati ujumbe huo ulipofika Ofisini kwa Makamu wa rais, Ikulu jijini Dar es   Salaam, leo kwa mazungumzo.

0 comments: